Virusi vya Valentine
Siku kama ya jana kuna watu ambao kwa namna nyingine wao ni kuharibu tarakishi za wengine na au kunyakua password.Nimepokea barua pepe na kadi pepe kibao zikinitakia siku ya wapendanao.Kitu ambacho nimekuwa nafanya ni kuzifuta,bila kuzisoma.Ukifungua tu imekula kwako.Bonyeza hapa some zaidi.
Nashauri kama ukipata barua pepe za namna hiyo kwa mtu usiomjua ama usifungue kabisa au ukifugua kuna link mule ndani usiifungue.Tuendelee kupendana




6 Comments:
Kaka umekuwa kimya...shule bila shaka eh?
Wanasemaje Udosini.
mzee Ndabagoye,habari mkuu?
www.ringojr.wordpress.com
amani kaka
rasta hapa.
Ebwanaeee upo mkuu? Aisee nilipotea kidogo,nilikua nimefichwa bwana si unajua mambo yale pale??
Otherwise niko poa.
Kaka Bwaya nilikuwa nimebanwa kimtindo.
@James dah!,vipi kaka najua sana mambo yale kule.Karibu sana
Ni kweli umekuwa kimya. haya karibu tena
samahani fungua kurasa ya kuchangia mawazo kuhusu jumuiya ya wanablogu tanzania.
http://blogutanzania.blogspot.com/
www.ringojr.wordpress.com
Post a Comment
Links to this post:
Create a Link
<< Home