Foleni za magari ni maisha bora-Rais JK
Duh huu utani sasa.Bofya hapa, najiuliza huyu matamshi haya alikuwa anatania kama kawaida wanavyotuambia au? duh! a'fu anasema mwakani anaanza kujenga bara bara za juu(flyover).
Duh huu utani sasa.Bofya hapa, najiuliza huyu matamshi haya alikuwa anatania kama kawaida wanavyotuambia au? duh! a'fu anasema mwakani anaanza kujenga bara bara za juu(flyover).
Wasanii wa kibongo muda sasa wamekuwa wanalalamikia mapato madogo kutokana na kazi zao.Lawama mara nyingi ukiwasikiliza wanazitupia kwa watangazaji(Djs) wa redio au wasambazaji(wadosi) hawa kwa mujibu wasanii wamekuwa wanawapiga ganji la kufa mtu.Djs wawanaomba mlungula ili ngoma yako ichezwe redioni wadosi ndio duh!
Bringin' us promises, leavin' us poor
Mtandao wa kijamii Twitter kwa muda kidogo umekuwa chini kama unavyoonekana pichani.Mitandao ya kijamii imekuwa maarufu katika nchi za Afrika siku za karibuni baada ya gharama za matumizi ya simu kushuka kwa kiwango kidogo.
India ni nchi moja ya maajabu sana,tangu unafika hakuishi vituko ambavyo kwa wewe mgeni vitakufanya ustaajabu kila kukicha.Ukianza na watu wenyewe mpaka chakula.